Wakati Mwafaka Wa Kumjua Mkristo Wa Kweli Ni Pale Anapokuwa Anapitia Changamoto Au Magumu Maishani Mwake… Kauli/ Maneno Anayosema Kuhusu...
Imani ni zaidi ya ulichonacho
Watu wa IMANI huwa hatuangalii nini tunacho, ama nini tunaona ama kusikia, au hisia zetu zinasemaje… Huwa na kitu kimoja...
Elewa na kutambua haki yako
Moja kati ya mambo yanayochangia SWALA LA KURITHI LAANA toka kwa waliotangulia ni KUTOJUA KUWA WOKOVU UMEFANYA KWAKE YAFUATAYO… Wokovu...
Tunajambo lakushuhudia
Mungu akikupa nafasi ya kuiona siku mpya, na kuwa hai katika siku hiyo, huo ni ushahidi tosha kuwa; 1. Mungu...
Maisha bora ya uhakika na ustawi
Kuna kitu kimoja pekee hapa duniani kitakacho kuhakikishia MAISHA BORA, YA UHAKIKA NA USTAWI… Hiki kitu KITALIKUZA JINA LAKO… Kitakukusanyia...
Kua boss juu ya shetani na mawakala wake wote
SHETANI YUPO, MAPEPO, MAJINI, MIZIMU, UCHAWI NA UHARIBIFU, UCHAFU, WIZI NA UUAJI WAKE pia upo… HAIJALISHI UNAAMINI HILI AU HAULIAMINI...
Dhambi adui mkubwa wa Imani,Ujasiri na Mamalaka
HAKUNA ADUI MKUBWA wa IMANI, UJASIRI na MAMLAKA kama DHAMBI… Dhambi inakuvua mavazi ya WOKOVU, HAKI, SIFA na NEEMA… Badala...
Biblia chanzo cha maarifa
Kuna zile MESEJI ZA MIZAHA kwenye MITANDAO zinazosema, \”Shetani akikuona unashika BIBLIA anaumwa na kichwa, akikuona unafungua na kuanza kusoma...
Nini umepata kupitia wokovu?
Unajua Wakristo, Walioamua kwa dhati kumwamini na kumpokea Yesu wanaishi maisha ya dhiki na ya chini sana kwa sababu wengi...
Amani na Furaha Yako
Haijalishi unapitia CHANGAMOTO, TATIZO, UGUMU au SHIDA gani… Usiruhusu zikuibie AMANI NA FURAHA YAKO… Jifunze kuwa kimya, mtulivu na kuilinda...