Namwamini Mungu kuwa kabla ya mwaka huu kuisha, naweza kuwa nimemaliza kuandika kitabu hiki kizuri chenye Ufunuo kuhusu Msalaba(kile alichofanya...
KWA WALE TU AMBAO WANA KIU YA KUJUA NENO LA MUNGU…
Bwana Yesu asifiwe sana, naamini mu wazima…kutokana na neema aliyonipa Mungu kuwa Mwalimu wa Neno lake, napenda kuendelea kuyagusa maisha...
MAMBO MAWILI YA MSINGI YA KUFANYA UWEPONI MWA BWANA
Kuna mambo mawili ya msingi sana ambayo mtu aliye wa familia ya Mungu anaweza kuyafanya wakati anapokuwa Uweponi mwa Mungu...
UMEUWEZA ULIMI WAKO AU UMEKUWEZA?
Mithali 18:20-21 inasema, \” Tumbo la mtu litashiba matunda ya kinywa chake…Uwezo wa mauti na Uzima viko kwenye ulimi, nao...
YESU NI NANI??
Usipojua cheo na hadhi sahihi ya huyu Yesu aliye hai, hautakuwa na kiwangoi cha umakini na nidhamu ya kutosha kwake,...
KWANINi WAFANYABIASHARA WAKRIST0 WANACHEMKA???
Wafanyabiashara Wakristo, walio mali ya Kristo Yesu wanachemka, wanapanda leo kesho wanashuka, wanajaribu biashara hii na ile na hawatobozi [breakthrough]...
MTU MWENYE NDOTO KUBWA YA MUNGU NDANI YAKO…
Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanawawinda watu wenye ndoto kubwa ya Mungu; 1.Roho ya Uzinzi -Yusufu alikumbana na mke...
USIENDE…USISIMAME…USIKAE
Zaburi 1:1 \”Heri [amebarikiwa] mtu yule ASIYEENDA katika shauri la wasio haki, Wala HAKUSIMAMA katika njia ya wakosaji, Wala...